WAZIRI MKUU APOKEA MISAADA YA MAAFA MKOANI KAGERA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akizungumza na Askofu Mkuu wa Kanisa la EAGT, Dkt. Brown Mwakipesile
kabla ya kupokea msaada wa Shilingi milioni 10 ukiwa ni mchango wa
kanisa hilo kwa waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera.
Makabidhiano hayo yalifanyika kwenye makazi ya Waziri Mkuu, Oysterbay
jijini Dar es salaam, Desemba 22., 2016. (picha na Ofisi a Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akipokea msaada wa shilingi milioni 10 kutoka Askofu Mkuu wa Kanisa la
EAGT, Dkt. Brown Mwakipesele ukiwa ni mchango wa kanisa hilo kwa
waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera. Makabidhiano hayo
yalifanyika kwenye makazi yake , Oysterbay jijini Dar es salaam Desemba
22, 2016. Katikati ni Mchungaji Pray God Mgonja wa kanisa hilo. (Picha
na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akipokea msaada wa shilingi milioni 10 kutoka Askofu Mkuu wa Kanisa la
EAGT, Dkt. Brown Mwakipesele ukiwa ni mchango wa kanisa hilo kwa
waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera. Makabidhiano hayo
yalifanyika kwenye makazi yake , Oysterbay jijini Dar es salaam Desemba
22, 2016. Katikati ni Mchungaji Pray God Mgonja wa kanisa hilo. (Picha
na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akisalimiana na Askofu Mkuu wa kanisa la EAGT, Dkt. Brown Mwakipesile
kabla ya kupokea msada wa shilingi milioni 10 uliotolewa na kanisa hilo
kwa waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera. Makabidhiano hayo
yalifanyika kwenye makazi ya Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Desemba
22, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Post a Comment