Your Business Looks Here

Your Business Looks Here
tupo kwenye tathimini ya mwaka radio itarudi hewani kuanzia tarehe 25

SINGLE ZERO YA TINO ILIVYOITIKISA DAR

Mkurugenzi na mmiliki wa kampuni ya MAGITA akiwa anatumia simu yake kupiga picha matukio wakati wa hafla ya uzinduzi wa filamu ya SINGLE ZERO, uliofanyika jana COCO Beach, mkurugenzi huyo alichangia dola za Kimarekani 5000, katika kuendeleza sanaa hiyo

Wasanii wa muziki wa kizazi kipya, wajulikanao kama PA1, wakiwa na wasanii wa vichekezo baba na mama Ashura, kabla wasanii hao hawajaanza kuimba wakati wa uzinduzi wa filamu ya SINGLE ZERO

Mkurugenzi wa kampuni ya MAGITA akifurahia jambo wakati wa uzinduzi wa filamu ya SINGLE SIRO

PA1 wakiwa jukwaani kunogesha uzinduzi wa SINGLE ZERO

Msanii wa Bongo movie, maarufu kwa jina TINO akiwa amekaa na mkewe kuangalia uzinduzi wa filamu ya SINGLE ZERO ambayo yeye mwenyewe ameicheza

PA1 wakiendelea kuburudisha

Wasanii wa vichekesho wakiburudisha  katika usiku wa  SINGLE ZERO

Miss Kachumbani akiwa ametulia kufuatilia jambo muhimu

mke wa msanii wa Bongo movie TINO akifuatilia ratiba ya matukio wakati wa uzinduzi wafilamu ya SINGLE ZERO

meneja na mwongozaji wa filamu nchini TIMOTH akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi wa filamu ya SINGLE ZERO

(PICHA ZOTE NA IMANI KELVIN MBAGA, Tanganyika blog)

No comments

Powered by Blogger.