WAWAKILISHI WA UNEP WAKUTANA NA WAZIRI MAKAMBA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa
Rais- Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akisikiliza kwa makini
Wawakilishi kutoka Shirikia La Umoja wa Mataifa linalohusika na
Mazingira (UNEP) waliokuja kumtembelea Ofisini kwake mtaa wa Luthuli
jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa
Rais- Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akiwa katika mazungumzo
na Wawakilishi wa Shirikia La Umoja wa Mataifa linalohusika na
Mazingira (UNEP) pamoja na Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais,
Profesa Faustine Kamuzora mapema hii leo.
Post a Comment