Your Business Looks Here

Your Business Looks Here
tupo kwenye tathimini ya mwaka radio itarudi hewani kuanzia tarehe 25

KLOPP AICHAMBUA LIVERPOOL

KOCHA WA LIVERPOOL JURGEN KLOPP
 Na:NSAJIGWA MWALUGAJA

Kocha wa majogoo wa jiji la liverpool Jurgen klop ameichambua kikosi chake na kutaka wadau na mashabiki wa timu hiyo pamoja na wachambuzi kuacha kufananisha liverpool ya sasa na vikosi vya liverpool vya miaka mitatu,kumi au ishirini na tano iliyopita,hii ni liverpool mpya lazima tujue hili alisisitiza klop

                                                  kwa sasa tupo kileleni mwa msimamo wa ligi,tujikite kwenye jukumu lililopo mbele yetu kuhakikisha timu inafanya vizurina tusahau historia yetu,liverpool inaonekana kungara kwa stairi yao ya ushambuliaje baada ya kuifungawatford goli sita kwa moja na kuongoza ligi kwa mara ya kwanza baada ya kufanya hivyo mara ya mwisho MAY 24

liverpool imejikusanyia pointi 26 baada ya kucheza 11 na kufunga magoli 30 ikiwa ni timu iliyofunga magoli mengi zaidi kwa msimu huu,matokeo yetu ni mazuri kwa msimu huu ila isije ikatokea kutuvimbisha kichwa na kubadili tabia klatika vyumba yvya kubadilishia nguo lazima tuangalie ubora wa timu pinzani kama arsernal,manchester city,totenham na manchester united

KIKOSI CHA LIVERPOOL
liverpool imepoteza mechi moja katika michezo kumi na nne ya mashindano yote

No comments

Powered by Blogger.