ALEX MSAMA AVIKUMBUKA VITUO VYA WATOTO YATIMA JIJINI DAR ES SALAAM
Bw. Alex Msama akikabidhi msaada
wa chakula kwa Bi.Zainab Bakari mlezi wa kituo cha kulea watoto yatima
cha Maunga Yatima Centre kilichopo Kinondoni jijini Dar es salaam wakati
alipotembelea kituoni hapo na kuzungumza na watoto, Msama aligawa
chakula pia katika vituo vya Honorata Temeke, Shifaa Bunju na Mwandalio
kilichopo Temeke Vetenary vyote vya jijini Dar es salaam
Bw. Alex Msama akikabidhi msaada wa chakula kwa kituo cha Honorata Temeke.
Bw. Alex Msama akikabidhi msaada wa chakula kwakituo cha Shifaa Bunju.
Bw. Alex Msama akikabidhi msaada wa chakula kwakituo cha Mwandalio cha Vetenary Temeke.
Post a Comment