Your Business Looks Here

Your Business Looks Here
tupo kwenye tathimini ya mwaka radio itarudi hewani kuanzia tarehe 25

BALLON D"OR 2016 YAENDA KWA RONALDO

Akiitimisha mwaka 2016 kwa mafanikio baada ya kubeba kombe la klabu bingwa ulaya,kombe la mataifa ulaya,Mshambuliaji wa kimataifa wa ureno na klabu ya real madrid christiano Rinaldo Jana alitangazwa mshindi Wa tuzo za French ballon d"or kwa mwaka 2016

Kwa maneno yako ronaldo anasema hakuwahi kufikiri anaweza kuwa mshindi Wa tuzo hiyo Mara NNE katika maisha yake ya soka,Rinaldo alitoa shukurani kwa wachezaji wenzake kwa michango yao ndani ya klabu na leo(Jana)amefanikiwa kutwaa tuzo hiyo.

Ronaldo ametwaa tuzo ya ballon d"or 2008,2010,2014,2016

No comments

Powered by Blogger.