Your Business Looks Here

Your Business Looks Here
tupo kwenye tathimini ya mwaka radio itarudi hewani kuanzia tarehe 25

Bodi ya mikopo Elimu ya juu "HESLB" yaja na mbinu mpya january 2017

Bodi ya mikopo nchi imeamua kuja na mbinu ya kuwasaka waajiri sugu wasio wasilisha makato na majina ya wanafunzi wa mikopo wa bodi hiyo.
HESLB




Akizungumza na wandishi wa habari leo jijini Dar es salaam mkulugenzi mtendaji wa bodi hiyo ,Abdul Razaq Badru, amesema bodi inakusudia kuanzia january mosi 2017 kuchapisha sura za wadaiwa sugu walio jinufaisha na mkopo Elimu ya juu.

Amesema ameunda kikosi kitakachoanza kazi january 2, mwaka 2017 kitafanya kazi kwa siku 14 mfululizo
wakipita ofisi moja baada ya nyengine.


No comments

Powered by Blogger.