Your Business Looks Here

Your Business Looks Here
tupo kwenye tathimini ya mwaka radio itarudi hewani kuanzia tarehe 25

MULTCHOICE WALIVYOANDAA SIKU YA WAANDISHI WA HABARI

Bendi ya muziki ikiburudisha wageni waalikwa katika sherehe za siku ya waandishi wa habari iliyoandaliwa na kampuni ya Multchoice Tanzania


Afisa masoko wa kampuni ya Multchoice Tanzania, Shumbana walwa akiwakaribisha waandishi na wageni waalikwa waliohudhuria siku ya waandishi wa habari iliyondaliwa na kampuni hiyo

Meneja masoko wa kampuni ya Multchoice Tanzania, bwana Alpha Mria mwenye fulana ya bluu akiambatana na bi Irene Paul mwenye fulana nyeupe ambaye pia ni balozi wa kifurushi cha DStv bomba chaneli ya maisha

Mkurugenzi wa kampuni ya Mutchoice Tanzania bw, Maharage Chande akiwakaribisha wageni waalikwa katika siku ya vyombo vya habari iliyoandaliwa na kampuni hiyo

bw, Maharage Chande mkurigenzi wa kampuni ya Multchoice Tanzania

meneja masoko wa kampuni ya Multchoice Tanzania bw, Alpha Mria (kulia) akiwa pamoja na waigizaji wanaigiza katika tamthilia inayoonyeshwa na DStv, katikati pamoja na meneja uhusiano wa kampuni hiyo bw, Jonhson Mshana kushoto


baadhi ya waandishi wa habari wakipata vinywaji wakati wa hafla maalumu ya siku ya vyombo vya habari iliyoandaliwa na kampuni ya Mutchoice Tanzania


baadhi ya wageni waalikwa na waandishi wa habari

mwandishi wa habari wa blog ya Tanganyika, ( Imani Kelvin Mbaga) akiwa anafuatilia moja ya matukio katika hafla hiyo kwa umakini

Maafisa wa Multchoice Tanzania wakipata chakula katika hafla hiyo

Waandishi wa habari wakicheza muziki

Afisa uhusiano wa kampuni yua Multichoice akiimba muziki katika hafla hiyo

Mkurugenzi wa Multchoice akicheza muziki na baadhi ya wafanyakazi na waandishi wa habri

meneja wa masoko wa Multchoice Tanzania Alpha Mria akifurahia jambo wakati wa kucheza muziki na wafanyakazi wenzake

waandishi wa habari na wafanyakazi wa DStv kwa pamoja wakiwa wanacheza muziki

mwandishi wa habari mwandamizi bw, John Bukuku akitoa neno la shukrani kwa niaba ya waandishi waliohudhuria hafla hiyo

 (PICHA ZOTE NA IMANI KELVIN MBAGA, Tanganyika blog)

No comments

Powered by Blogger.