Your Business Looks Here

Your Business Looks Here
tupo kwenye tathimini ya mwaka radio itarudi hewani kuanzia tarehe 25

ZIARA YA MSIMAMIZI WA CADESE KATIKA MRADI WA UMEME JUA WA MAJARIBIO, HOSPITALI YA WILAYA NYAMAGANA, MWANZA

WEN
Sehemu ya wodi za wagonjwa katika hospitali  ya wilaya ya Nyamagana iliyofungwa umeme jua.
WEN 1
Mratibu wa Mradi wa  Umeme Jua wa Majaribio katika hospitali ya   wilaya ya Nyamagana, Amin Abdallah, (kulia) akielezea maendeleo ya mradi huo kwa Msimamizi wa Mradi wa Kuwajengea Uwezo  Wataalam wa Nishati na Tasnia ya Uziduaji  (CADESE), Paul Kiwele ( wa pili kutoka kulia). Wengine ni wataalam kutoka  Sehemu ya Nishati Jadidifu, Wizara ya Nishati na Madini.
WEN 2
Mratibu wa Mradi wa  Umeme Jua wa Majaribio katika hospitali ya   wilaya ya Nyamagana, Amin Abdallah (kulia) akieleza jambo kwa Mtaalam kutoka Sehemu ya Nishati Jadidifu- Idara ya Nishati, Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Stephan Kashushura (katikati). Kushoto ni  Nasra Mohamed kutoka  Wizara hiyo.
ENEO 3
Mratibu wa Mradi wa  Umeme Jua wa Majaribio katika hospitali ya   wilaya ya Nyamagana, Amin Abdallah (kushoto mbele) akimwongoza  Msimamizi wa Mradi wa Kuwajengea Uwezo  Wataalam wa Nishati na Tasnia ya Uziduaji  (CADESE), Paul Kiwele (kulia mbele) pamoja na wataalam kutoka Wizara ya  Nishati na Madini katika ziara kwenye mradi huo.
WEN 4
Mratibu wa Mradi wa  Umeme Jua wa Majaribio katika hospitali ya   wilaya ya Nyamagana, Amin Abdallah (kulia) akielezea mfumo wa kuongozea vifaa vya umeme jua katika hospitali ya wilaya ya Nyamagana.
WEN 5
Mratibu wa Mradi wa  Umeme Jua wa Majaribio katika hospitali ya   wilaya ya Nyamagana, Amin Abdallah (kushoto) akionesha mita maalum ya kuruhusu umeme kuingia na kutoka kwenye  Gridi ya  Taifa.
WEN 6
Mratibu wa Mradi wa  Umeme Jua wa Majaribio katika hospitali ya   wilaya ya Nyamagana, Amin Abdallah ( wa pili kutoka kulia) akionesha karabai zinazotumia umeme jua zilizotolewa na mradi  huo kwa wavuvi wa soko la samaki  la Mwaloni jijini Mwanza.
WEN 7
Mmoja wa wavuvi katika soko la samaki la Mwaloni jijini Mwanza, Joseph Athony (kushoto) akielezea manufaa ya karabai zinazotumia umeme jua zilizotolewa na Mradi wa  Umeme Jua wa Majaribio.

No comments

Powered by Blogger.