Your Business Looks Here

Your Business Looks Here
tupo kwenye tathimini ya mwaka radio itarudi hewani kuanzia tarehe 25

WAZIRI NAPE AMKABIDHI BENDERA YA TAIFA DIAMOND KUELEKEA GABON

kikundi cha ngoma za kienyeji kutoka mkoani Mbeya kikitumbuiza wakati ya hafla ya makabidhiano ya bendera kati ya wa Waziri wa habari, vijana, michezo, utamaduni na sanaa, mhe, Nape Nnauye na msanii wa muziki wa kizazi kipya Naseeb Abdul (Diamond platnams) jijini Dar es salaam jana

Wasanii toka mkoani Mbeya wakitumbuiza jijini Dar es salaam jana

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Naseeb Abdul (Diamond Platnums) kushoto akiwa pamoja na kaimu  mkurugenzi wa Multchoice Tanzania Salum Salum kulia

Waziri Nape Nnauye katikati, akifurahia Jambo pamoja na balozi wa DStv bomba Lucas Nkenda (Joti), Naseeb Abdul (Diamond), na Salum Salum ambaye ni kaimu mkurugenzi wa kampuni ya Multchoice Tanzania

Waziri Nape Nnauye akiteta jambo na kaimu mkurugenzi wa Multchoice Tanzania salum Salum

Balozi wa kifurushi cha DStv bomba, masanii wa maigizo, Lucas nkenda maarufu kama JOTI akizungumza wakati wa hafla ya kumkabidhi bendera ya taifa msanii wa muziki wa kizazi kipya naseeb Abdul atakaekwenda kutumbuiza wakati wa sherehe za ufunguzi wa michuano ya AFCON

Waziri wa habari , vijana, utamaduni, sanaa na michezo, Mhe, Nape Nnauye akimpongeza Diamond kwa kuteuliwa kutumbuiza wakati wa sherehe za ufunguzi wa michuano ya AFCON huko Gabon

Diamond akimshukuru mhe, waziri na Watanzania muda mfupi kabla ya kukabidhiwa bendera ya taifa

Diamond Platnums akitoa neno la shukrani mbele ya waandishi (waandishi wa habari hawapo pichani)

makabidhiano ya bendera yakifanyika

Makabidhiano ya bendera yaliyofanyika jana jijini Dar esalaam

wasanii wa tanzania JOTI na Diamond wakiwa pamoja na Waziri nape

Diamond baada ya kukabidhiwa bendera

Diamond na bendera ya taifa

Diamond platnums





(PICHA ZOTE NA IMANI KELVIN MBAGA, Tanganyika blog)

No comments

Powered by Blogger.